Maria Lyrics
- Genre:Gospel
- Year of Release:2017
Lyrics
Maria - Bahati
...
heee! ni bahati bahati tena ee aii.
teddy B
[hook]
pa paraparira ilikua ndo mchezo baada Ya kanisa sunday
pa paraparira tulisali pamoja baada ya shuleni monday *2
nakumbuka ulipenda chakacha na mi nlipenda bongo
ulimskiza farida na mimi rose muhando*2
Ndoto yako ikawa
kwenda ng'ambo mmmh
nami yangu ikawa kwenye gospel*2
{chorus}
mariaaa leoooo umebadilika
jana sio kama leeeoo [umebadilika]
maria leo [umebadilika ]
jana sio kama leo [umebadilika]
maria aaah
[hook]
kutoka kenya dar es salama nmekusaka saka sana
kwetu pwani hadi kampala
uganda kaingia
kutoka kenya dar es salama nimekusaka tanzania
kwetu pwani hadi kampala
uganda kaingia
bila budi unatesa na urembo
meingilia sigara na tembo
bila budi unatesa na urembo
mesahau tukiishi malebo
{chorus}
mariaaaa
uuuu nanananaa
uuuku kanisani
uuu ae na nyumbani
kumbuka mama githeri
yu-ule jirani wanaulizia
{chorus}
kumbuka ndoto zetu we
tukiwa mathare
tukiwa ghetto aaa aee isilando
nananananananana aeee
aah rudi nyumbani
aa kwa yesu nyumbani eee
rudi nyumbani
kwa yesu nyumbani eee
lalalllalalalala eeee