SIJUI NI KWA NINI Lyrics
- Genre:Hip Hop & Rap
- Year of Release:2022
Lyrics
Vitu tam navitaka na
(Sijui ni kwanini)
Nani ananifuata na
(Sijui ni kwanini)
Niredwa ni Indo nthaka na
(Sijui ni kwanini)
Wa muthenya ni minyaka na
(Sijui ni kwanini)
Vitu tamu navitaka na
(Sijui ni kwanini)
Nani ananifuata na
(Sijui ni kwanini)
Niredwa ni Indo nthaka na
(Sijui ni kwanini)
Wa muthenya ni minyaka na
(Sijui ni kwanini )
Sijui ni kwanini(aah!)
Kila wakati hata niwe safarini
Orodha ya vitu sweet inanisumbua akilini(atii)
Vitu zote cute ata sijui nile nini
(Wee!) nataka kitu kinaladha ya asali
Kinachangamsha kama msee wa kamali
Kizuri Cha jiuza hapa me sijali(don care)
Nireda indo cie murio gukiruka sukari
Warembo wako sweet wako fine
Wanataka eti niwapee Namba ya mine
Flow wamenoki mpaka wanawine
Wamekuwa addicted na ngoma za mine(aaah!)
Ongeza taste everyday
Omundu winamagego apa vuja mavede
Kunichunguza chunga apa me nina redee
Irio kugia murio cinema kihidi (aiyayaya)
Ongeza taste everyday
Omundu winamagego apa vuja mavedee
Kunichunguza chunga apa me nina redee
Irio kugia murio cinema kihidi
Vitu tam navitaka na
(Sijui ni kwanini)
Nani ananifuata na
(Sijui ni kwanini)
Niredwa ni Indo nthaka na
(Sijui ni kwanini)
Wa muthenya ni minyaka na
(Sijui ni kwanini)
Vitu tamu navitaka na
(Sijui ni kwanini)
Nani ananifuata na
(Sijui ni kwanini)
Niredwa ni Indo nthaka na
(Sijui ni kwanini)
Wa muthenya ni minyaka na
(Sijui ni kwanini)
Kila siku ni mazuri
Niko strong kama simiti bamburi
Utamu ujiumia nimejipanga vizuri
Nataka vitu special ka mgeni Kwa ikuli
Napendwa na walami
Indo nice na murio utafikiri ni Miami
Mistari me natema zinacome ka Tsunami
Naflow juu ya utamu Kama gari juu ya lami
(Vuua!)
Everything sweet leta kwangu
Nazipeda sana ka maisha yangu
Vitu zote sweet na ni strange joh kakangu
Siogopi bana wacha zote zije kwangu(kwangu)
Ongeza taste everyday
Omundu winamagego apa vuja mavedee
Kunichunguza chunga apa me nina redee
Irio kugia murio cinema kihidii
Ongeza taste everyday
Omundu winamagego apa vunja mavedee
Kunichunguza chunga apa me nina redee
Irio kugia murio cinema kihidii
Vitu tam navitaka na
(Sijui ni kwanini)
Nani ananifuata na
(Sijui ni kwanini)
Niredwa ni indo nthaka na
(Sijui ni kwanini)
Wamuthenya ni minyaka na
(Sijui ni kwanini)
Vitu tam navitaka na
(Sijui ni kwanini)
Niredwa ni indo nthaka na
(Sijui ni kwanini)
Wamuthenya ni minyaka na
Vitu tam navitaka na
(Sijui ni kwanini)
Nani ananifuata na
(Sijui ni kwanini)
Niredwa ni indo nthaka na
(Sijui ni kwanini)
Wamuthenya ni minyaka na
(Sijui ni kwanini)
Sijui ni kwanini
Sijui ni kwanini
Sijui ni kwanini
Wamuthenya ni minyaka na
(Sijui ni kwanini)