Nilimpenda Sana Lyrics
- Genre:Afrobeats
- Year of Release:2022
Lyrics
Nilimpenda Sana - Vanillah
...
Nina masikio mbona sisikii upendo
Uwenda ni marudio sio wakwanza mimi
Nilikufanya kimbilio labda tutatimiza malengo
Moyo unanienda mbio ata siaminii
Na nichukulie kideo ntumie whatsapp
Nimuone kama ni yeye
Aloninyima usingizi nisilale
Naona zinanibana mbavu
Nachoka halafu
Kwanini aolewee
Nilimpenda kuzidii ampendae
Emu nichukulie kideo nitumie whatsapp
Nimuone kama yeye
Aloninyima usingizi nisilale
Nanilimpenda sana ona ameniacha naumwa
Nanilimpenda sana mbona amenikana
Nanilimpenda sana mbona ameniacha naumwa
Nanilimpenda sana mbona amenikana
Sio mbaya siumeamua kuchaguaa
Moyo wako kumpa yule
Ila kaa ukitambua kwamba mi bila wewe ni sawa na bure
Au labda kuna kitu kipya ulikipata kutoka kwenye mwili wake yule
Na ukaniona mi mshamba na vyeo vyote ukamvika yeye
Hvi unahisi mi ntaishi maisha gani bila wewe
Kwa yale madikodiko mara unikiss
Kichwani umenijaa tele
Na sio rahisi mi kuishi kwa raha bila wewe
Na usishangae ukisikia mazishi sababu itakua ni wewe
Nanilimpenda sana ona ameniacha naumwa
Nanilimpenda sana mbona amenikana
Nanilimpenda sana mbona ameniacha naumwa
Nanilimpenda sana mbona amenikana