Loading...

Download
  • Genre:Hip Hop & Rap
  • Year of Release:2022

Lyrics

Mara paap panakucha napata ndizi na supu

Alafu mchana nimewaka nakula wali na kuku

Wakati najiuliza ntakula nini usiku

Nazinduka gafla kumbe nakula ganja la buku


Na hizi verse ziko hard usije pima kwa kidumu

Hazipimiki hazifichiki kama bando la kudumu

Nawaungia free wifi wanabaki wananizoom

Nikizama tu Ig ijulikane sina boom


Get down, me ndo dingi ninabonga

Nikisema nishasema na mapimbi watachonga

Me kuchora nishachora

Line zinawaka kama nguo za mapacha

Tembea kibatabata ukichoka kipakapaka


Najiona ka mchungaji nyikani mwenye kondoo

So sitaki kula bata wachafu naona so

Kila nikipiga hodi jirani anafunga door

Dem alinitafuta nkajua dawa ni mb


Na nywele za kipare naeza kata suka fuga

Ukikutana na watasha unaeza kaza kacha dinda

Baby Dar joto ntakupoza na mafinga

Sirembagi kwenye show unaeza sema ata ni ninja


Kupinganapingana ndo staki na mawaki

Mana kupinganapingans nasema ndo uwaki

Usela ukiwa mwingi sometimes ndo unafki

We ni simba ama yanga tukutane kwenye chaki


Mwambieni chau Lee msikitini sio church

Aliyosema yote kweny best Rapper no fact

Sitowaangusha fans wangu ahh wap

Muulizeni ngelangela am the deal mother f


Wanadata na hizi flow navo switch

Barz mpaka barz zinang'ara sina jiki

Watoto wakishua wananipenda kama pipi

We sema sina pesa me naparial kila wiki

Uhhh

Nimeshamwaga verse

Nitam ka msosi

Washeni sas 4G

Mpaka kwa kitochi

Siwezi kwenda OP

Na slang ka BMC

Mpaka Vannykhan anasem ni kitu OG


Lazima uwe na speed ukitaka kumdaka swala

Ni bora uwe na imani ndo uende ukafanye sala

Usitoroke Ochaz kuja mjini kuna msala

Usione wanapost mambo safy iyo mikwara tu


Skuizi haturembi maana kila kitu wazi

Nkikupanga kuwa mkweli kama jimbo lipo wazi

Washa taa me ntazima nipo fiti kwenye kazi

And am stick to ma way pika mboga weka nazi


Dingi anasema nizidi kukaza

Mama ako anasema uzidishe

Na ukija kupata usije kusaza

Kipaji umepewa kushika kipaza


Show kali yani mpaka mic inazima

Si utani watu nawabeba mazima

Me msanii flow zinawachoma kinyama jamni

Mikono juu uku unasema yeyee yeyee yeyee yeeeya

Yeyee yeyee yeyee yeeeya


Show kali yani mpaka mic inazima

Si utani watu nawabeba mazima

Me msanii flow zinawachoma kinyama jamni

Mikono juu uku unasema yeyee yeyee yeyee yeeeya

Yeyee yeyee yeyee yeeeya

+

      -   or   -

      -   or   -

      NG +234

          Please Select A Playlist

          Add New Playlist

          Share on

          Embed: Love & Light EP

          Custom Size :

          • Default
          • Desktop(300*600)
          • Mobile(300*250)

          Type :

          • HTML/HTML5 (WordPress Supported)
          Get Boomplay Premium
          for
          Payment Method
          Pay With
            Review and pay
            Order Date
            Payment Method
            Due Today
            Flutterwave
              Subscription Successful

              Congratulations! You have successfully activated Boomplay 1 Month Premium.

              Now you have access to all the features of Boomplay App.
              Payment Failed

              Please check your balance and then try again.

              You'll lose your subscription if we don't have a working payment method for your account, so please check your payment details.
              Need help? Contact Boomplay Subscription Support.
              Payment Processing...
              10 s

              Payment is being processed by . Please wait while the order is being comfirmed.

              Payment Processing
              Your order is processing, and it may take up to a few days for the service provider to handle your payment. Please kindly stay tuned and check your order status in ‘User Center’.
              About Order Status