Msalambani Lyrics
- Genre:Gospel
- Year of Release:2014
Lyrics
Msalambani - Pastor Emmanuel Ushindi
...
Nipale musarabani Kisha mateso mengi ambayo
Yesu kristo
alipata kufa na kufufuka kwake
nipale nilikomborewa
baba na mama
walinikataa
marafiki na majilani wote wakanikimbia
lakini Yesu akanikaribisha
utukufu na heshima zimerudie Bwana
Ameee. hallelujah
iiiiii pale pale pale pale pale paleeeee!
pale pale paleeeee musalabani mi nakumbuka mateso
Yesu kristo alipata kusudi Mimi niokolewe
muache niimbe,muache nicheze amenitoa mbali oooh!
aaah msalabani Bwana wangu Yesu alilia yelohi yelohi raba Saba kitani ,Bwana wangu wangu eeeeh mbona umeniacha
siii kama nitakavyoo mapenzi yako yafanyike kwangu
ili mwanadamu aufikie ukombozi
ili baba na mama waufikie ukombozi
ili kaka na dada waufikie ukombooozi waufikie ukombozi
ooh Asante Bwana
nikikumbuka taji ya miba aliyovikwa nahizo
majeshi wenyenguvu kubwa
na hasira Tena juu ya Baba wakapewa taji
kusema wamvike mokozi wangu
wakamvika hiyo Kwa hasira mamaa kumbuka,
maumivu mwili mzima
ikajaaa moto
sijasema nayo mijeredi iliyojaa miiiba
wakamtwika na msalaba
Yesu wangu akaanguka eeeh
simoni naye akasema atapimaa
nae akashindwa ooooh aaahh yooooh
ndugu yangu baba mateso ilikuwa juu yangu
utukufu na heshima zikurudie wewe hallelujah
sijasema Tena juu ya mkuki waliompiga
Tena ubavuni
damu nayo maaji
ikatililika mpaka udongo
miko na msumali mguu
na miguu Tena msumali mwingine
akasema munipe maji
nakumbuka wakampa
maji machungu eeh
siki sifingo eeh
Babas aliyenipa pahalii oooh hallelujah
anasema atarudi Dunia
atarudi Tena kukusanya kondoo
atarudi yeye ni Simba ya yuda
macho yake miale ya moto
kinywa chake kitakata
nikama upangaa
Baba atarudi muduni na hasila kubwa
anasema atarudi Dunia
atarudi Tena kukusanya kondoo
atarudi yeye ni Simba ya yuda
macho yake miale ya moto
kinywa chake kitakata
nikama upangaa
wenye dhambi watakuwa wapi ooh
watakuwa wapiiii
makahaba watakuwa waaapi
waliokataa injili nao watakuwa wapi
siku ilee
watakuwa waaapi watakuwa wapi
utajificha mbele ya pastor, utajificha mbele ya padri
lakini baba anayo macho saba
Moja mchana Moja usiku eeh
Naingine tano reserved,utajifificha wapi
papa uonekana mbele ya wakati eeeh ee ee
hata uende ndani ya maji
maji ya uzima
hata uende ndani ya moto na manyanga
ni moto ulaooo!
hata ukimbilie ndani ya mawe
yeye ni mwambaa
hata ujifiche ndani ya miti polini
nimzabibu wa kweli
hata ujifiche ndani ya (****)
ni Simba wa yudaaa ni Simba wa yudaaa.
hahaha
utajificha mbele ya ndugu yako
yeye anamacho mbili
safari zako zote zinafichika
watu hawajui
lakini Mungu anajua
yeye anauwezo wa kuona kwenye ngelele
mweusi
ndani ya maji meusi.
katikati ya usiku
Tena yule lijiwe mweusi
Mungu yeye ataiona
hakuna mtu awezae kumficha kitu
onyeka tu ,uone like Mungu atakufanyizia
hallelujah.
hata uende ndani ya maji
nimaji ya uzima
hata uende ndani ya moto na manyanga
ni moto ulaooo!
hata ukimbilie ndani ya mawe
yeye ni mwambaa
hata ujifiche ndani ya miti polini
nimzabibu wa kweli
hata ujifiche ndani ya (****)
ni Simba wa yudaaa ni Simba wa yudaaa.