Maisha ni njia Lyrics
- Genre:Dancehall
- Year of Release:2022
Lyrics
Maisha ni njia - Mr Prize Rapper
...
Maisha Pia huisha unapaswa kuwa na dream,
Kama cream kwenye milk we discover your dream,
Usiturn kama rim mambo ya watu we kufwata utajiona mtukutu nayo kutu haina value,
Ignore piga tu hatua usijali kesho Mungu ndiye anajua,
Usipende za alua Mungu alikupenda bila hizo nina imani unaelewa kila siku huitaji kulewa pombe bangi achana nazo kwa maisha kujielewa....
Hii maisha ni njia...
Hii maisha ni njia...
Hii maisha ni njia...
Yako itaishia wapi
Hii maisha ni njia...X3
Jiulize yako itaishia wapi
Hii maisha ni njia...X3
Ukimess umepotea,
Hivi leo hata jana kila mtu huwa tu kijana,
Achana wale wa kuchana pombe usiwahikunywa
Na miraa usiwaichana kwa kujiona kijanaa...
Kwa kujiona kijanaa,ukijiusisha na anasa utajikuta umepotea na ukijiunga na ulevi mwili wako utaumia...
Wazazi ni wema bila uovu wamekulea,unaanza kujiaribu madawa sasa zakulea
Unasahau mbele yako shimoni utatokomea...
Hii maisha ni njia...
Hii maisha ni njia...
Hii maisha ni njia...
Yako itaishia wapi
Hii maisha ni njia...X3
Jiulize yako itaishia wapi
Hii maisha ni njia...X3
Ukimess umepotea,
Matatizo humu duniani kila mara hazikosekani,
Lakini huwa za muda ili kupima yako imani,
So kaa ngumu kama kangu hakika isikupate,
Mwenyezi awe kimbilio kila siku zidisha imani,mambo yako iwe sambamba kila siku iwe tu laini,
Piga plan poa Mungu atakusupport...
Hii maisha ni njia...
Hii maisha ni njia...
Hii maisha ni njia...
Yako itaishia wapi
Hii maisha ni njia...X3
Jiulize yako itaishia wapi
Hii maisha ni njia...X3
Ukimess umepotea,
Hicho unachokifanya jiulize mwisho wako nini,
Utaishia huko motoni ama utapata maskani mbinguni,
Ambako hakuna taabu ni kuimba na kusifu,
Hakuna kuhisi njaa,kuna shibe ya milele...
Hii maisha ni njia...
Hii maisha ni njia...
Hii maisha ni njiaa...
Ni bora uwe mhumble mabaya watakayosema ignore wale walio kama siafu wakikuuma waignore
Hii maisha ni njia unapaswa kujiknow
Isikukule mablow virahisi na ma-clow,
Jifaye tu mwoga za dunia kuziepuka na paradiso we kufika,
Hii maisha ni njia...
Hii maisha ni njia...
Hii maisha ni njia...
Hii maisha ni njia...
Yako itaishia wapi
Hii maisha ni njia...X3
Jiulize yako itaishia wapi
Hii maisha ni njia...X3
Ukimess umepotea,