Sisi Ndio Tupo ft. Slimsal Lyrics
- Genre:Hip Hop & Rap
- Year of Release:2022
Lyrics
Sisi Ndio Tupo ft. Slimsal - Fivara
...
A piece of pie music
Know what am saying (sisi)
Aahh
Mnataka wembamba warefu
Light skin niggas wenye ndevu
Wenye Mali wenye magari, God fearing
wanaopenda kusali
Wenye degree, Corporate niggas
Wenye CV
Lakini mkija kurudi kwa street
Mnakuta manniga ambao hatuna madeal
Tuna hustle for meal
Sisi ndio tupo
Sisi ndio tupo
Sisi ndio tupo
Sisi ndio tupo
Mnataka six packs
Wanaotoa hela Wala sio kucheat chat
Wale walio loyal Wala sio ku heat that
Ambao sio wachoyo wanao spill cash
Romantic muitwe sweet hearts
Ila mnatukuta sisi wenye shit hearts
Chenga chenga nyingi mwendo wa this that
Mapenzi Kona nyingi Yani zig zag
Hakuna wa kudiscuss kwamba
Sisi ndio tupo
Sisi ndio tupo
Sisi ndio tupo
Sisi ndio tupo
Hi,
Hello dear sissy
Kama unatafuta wenye akili sio sisi
Wenye F,F D,D sio sisi
Najua kuwa you don want F na C ila
You still get that D
na si tu, d**
Cause we si ni bad bitch, eyyy
Ata aje Hadi Nicki minaj pia
Asije peke yake aje na kina Barbie mia
Atatukuta sisi ndio wauaji, dear
Tuko stadi Shule kwa mafundi stadi, dear
Ah, unankumbusha high school
Binamu yangu alipata B,F,A,F
ilimpa tabu sababu ya kitabu
He commit suicide, and died
Eh, Sisi ndio tupo tusioogopa kufeli
Tukipewa F, we don give an f..
Hatuna kitu kwa mfuko tulikula school fees
Na bado hatufi, maisha marefu
Ndio sisi hao, hatukua na akili
Wala hatukupenda kusoma
Tulio Kula hela ya Caro ndo si
Tukaenda kuimaliza nyama choma
hahh..
Sisi ndio tupo, eyy
Sisi ndio tupo, tupogo
Bado tupo
Tupoogo, bado tupo (eyyy)
Tupoogo
Wa kuwapeleka Tipsy Kidimbwi (sio sisi)
Wanaoingia kingi kipimbi (sio sisi)
Big boys wanao chill na kulipa bill
Wala hawapigi filimbi (mh mh)
Mnataka maspoiler,
Watoto was Joshua Kama kuku ni broiler (mh wee)
Ila tupo wakora tunapigwa na jua tunachapa bakora
Mnaemtaka Rotimi mnaempata ni Juma
Mtalaumu nini ka option hakuna
Tunataka mapini tunampata Mwajuma
Tutalaumu nini ka option hakuna
Wanaonukia hawapo, Ila tupo tunaonuka majasho
Wanaovutia hawapo, Ila tupo tunaovutwa na tako
Sisi ndio tupo sisi ndio tupo
Sisi ndio tupo sisi ndio tupo