Mama ft. Maddoh Lyrics
- Genre:Hip Hop & Rap
- Year of Release:2021
Lyrics
Mama alisema maisha bado mwanangu kazana
Sio kupiga kazi tu ila sali sana
Pia waheshimu waungwana pamoja na wana
Na kwenye mishe zako usijikute mjuaji sana
Hustle more, and keep it low
Ukifika on top watakupa shikamoo
Baada ya Mohamed wataanza kukuita Mo
Yeah
Nimekuzaa man pekee wa kwenye familia
Na dada zako nyuma wote wanakuangalia
Usiwe ndezi we ni first born pia
Kwa hio hakikisha akili pia unaitumia
Ma girls ogopa, bitches ogopa
Watakuacha kapa kisha watakuchoropoka
Na kabla ujaondoka niahidi utaokoka
Sitochoka kupambana we mama
Usiku mchana kutwa napalangana
Aniepushe mabayaa Heee
Chuki na mikosi vipite kule
Ila mungu ani bless yoh we mama aniondolee na dhiki yoh hee
IMungu ani bless yoh we mama
Aniondolee na dhiki yoh heee
Kabla sijajibu mama anaingia ndan
Anaporud ananikuta mi mezan
Nampa maneno yanayotoka ndani
Kama ifatavo yananitoka kinywani
Nami nampromise mama mi nta fight sana
Najua succes haijagi simply bwana
Fo sure ntapambana yan ntapigana
Na ntakikisha nakua mfano adi kwa wana
Ntatafuta mmoja tu wangu m anaenifaaa
Ambae atanikubali mi hadi kwa njaa
Co yule wa kuinjoi tu kwnye miraha
Kwenye minjaa akaja kuniacha mataa
I pray more more to God
Niwe more than strong
Zile zangu goalz
Zisitake much time
I pray more more to God
Niwe more than strong
Zile zangu goalz
Zisitake much time
Sito choka kupambana we mama usiku mchana kutwa na palangana
Aniepushe mabayaa Heee
Chuki na mikosi vipite kule
Ila mungu ani bless yoh we mama aniondolee na dhiki yoh hee
IMungu ani bless yoh we mama
Aniondolee na dhiki yoh heee