Dakika Moja Lyrics
- Genre:Afropop
- Year of Release:2021
Lyrics
Dakika Moja - Tokal
...
Unavyofanya sivyo unaniumiza moyo mwenzako naumiau hii ndio ile zawadi yako,
Uloniahidi utanipea
Unavyofanya sivyo unaniumiza moyo mwenzako me naumiau hii ndio ile zawadi yako,
Uloniahidi utanipea
Au kukupenda ni makosa mbona huniambii
Unanifungia milango
Na venye nikipenda nimependa hata sisikii
Nitatoa hadi figo
Baby ninashauku kama ulinipenda venye nilivyo
Oh nina shaka na mapenzi unavyofanya hivyo sivyo
Kama unahisi sikufai,
Uniambie,
Niko tayari kuuguza maumivu
Kama sikufai,
Uniambie,
Ooh baby I just need your time
Chorus: x2
Baby Nipe.. japo dakika moja
Japo dakika moja
Nipe..japo dakika moja
I need your time
Verse 2:
Tumecheka me nawe
Kwenye mapenzi tumelia me nawe
Tumepitia mengi me nawe
Hata kwingine tumetupiwa mawe
Tumecheka me nawe
Kwenye mapenzi tumelia me nawe
Tumepitia mengi me nawe
Hata kwingine tumetupiwa mawe
Namala nikuhale, lakini mbona sikwelewa kamare
Namala nikuhale,... Babyyy
Kama unahisi sikufai,
Uniambie,
Niko tayari kuuguza maumivu
Kama sikufai,
Uniambie,
Ooh baby I just need your time
Chorus: x2
Baby Nipe.. japo dakika moja
Japo dakika moja
Nipe..japo dakika moja
I need your time
Oh yeah yeah
Dakija moja na wewe
Na wewe tu baby
I just need a minute if your time
Na wewe..
Oh nono nono!
Uuh.. Uuuh!
Oh yeah yeah
Oh nanananaa
Uuh uuuhhhh!