Vijana Tuache Mihadarati Lyrics
- Genre:Hip Hop & Rap
- Year of Release:2018
Lyrics
Vijana Tuache Mihadarati - STIVO SIMPLE BOY
...
Intro:
Ahaa, Stivo Simpo boy
Main Kibra production
Vijana tuache mihadarati
Ndio manake, tega masikio
Ndio manake, twende kazi
Verse 1:
Vijana tuache mihadarati
Nasemaa tuache mihadarati
Vi vijanaa tuache mihadarati
Nasemaa tuache mihadarati
Vijanaa tuache mihadarati
Nasemaa tuache mihadarati
Vi vijanaa tuache mihadarati
Nasemaa tuache mihadarati
Unapata vijanaa wameketiketi tu
wanavuta mihadarati hawajali
Wanapoteza wakati hawana habari
Ukivuta mihadarati inaharibu akili
Inaharibu mpaka mwili
wametulituli wamebaki jobless
Kushoto na kulia manzee wanalia
Hakuna kazi, wapate kazi
waishi vizuri, waishi maisha mazuri
mambo iwe poa yaani iwe safi
Bila wasiwasi
chorus:
Vijanaa tuache mihadarati
nasemaa tuache mihadarati
Vi vijanaa tuache mihadarati
nasemaa tuache mihadarati
Vijanaa tuache mihadarati
nasemaa tuache mihadarati
Vi vijanaa tuache mihadarati
Nasemaa tuache mihadarati
Verse 2:
Ukivuta mihadarati itaharibu buruwein
Utafeel very pain
Ikiingia kwenye vein
My friend muache mihadarati
museme Yesu weekend
Mambo iwe poa yaani iwe bambam
Ukivuta mihadarati hakuna kitu umegain
Stand up, never fall again
No pain again
mambo iwe shwari yaani iwe goodi goodi
Chorus:
Vijanaa tuache mihadarati
nasemaa tuache mihadarati
Vi vijanaa tuache mihadarati
nasemaa tuache mihadarati
Vijanaa tuache mihadarati
nasemaa tuache mihadarati
Vi vijanaa tuache mihadarati
Nasemaa tuache mihadarati
Verse 3:
Tufanye gube, tuangamize mihadarati
Tuwe na amani tusipoteze wakati
Naketi chini nadondokwa na machozi
Akina Hamisi, akina jona akina Lucy
Akina Mercy wote wamefariki
Manzee tumewamiss
Juu juu tu ya mihadarati
Moyoni mwangu Nina, machungu
This kitefutefu nahisi kizunguzungu
Vijanaa wamesepa kwa mwangaza
Wameingia kwenye giza
mapenzi kiholela
Hawana ata haya wanafanya vitu mbaya
Zenye hazina maana
Wazazi wao wanalialia tu eti dunia mbaya
Kumbe watoto wao ndio wabaya
Nabaki mdomo wazi nani alaumiwe
Watoto au wazazi
Kama una jibu simama utupee jibu
Chorus:
Vijanaa tuache mihadarati
nasemaa tuache mihadarati
Vi vijanaa tuache mihadarati
nasemaa tuache mihadarati
Vijanaa tuache mihadarati
nasemaa tuache mihadarati
Vi vijanaa tuache mihadarati
Nasemaa tuache mihadarati
Verse 4:
Mimi stivo Simpo boy nasema
Nahisi uchungu
Nikiona dada
Nikiona kaka
Nikiona mama
Nikiona babaa
Mpaka vijanaa wameathirika tu
Na madawa za kulevya
Mungu wa rehema wape neema
Wapate kusimama watimize ndoto Yao
wawe juu juu yaani wawe malow
Waseme Asanti yaani Ero kama I
Omwana wa mkwano
chorus:
Vijanaa tuache mihadarati
nasemaa tuache mihadarati
Vi vijanaa tuache mihadarati
nasemaa tuache mihadarati
Vijanaa tuache mihadarati
nasemaa tuache mihadarati
Vi vijanaa tuache mihadarati
Nasemaa tuache mihadarati
Finisher:
Yeaaah hahaa
Vijanaa, si lazima tutumie mihadarati
ama vipii
Huyu ni boy wenu Stivo Simpo boy
Ama vipii,ndio manake
Simpo boy, ha ha
Made in Kibra production ha
Ndio manake
Am oout!
Lyrics by FesBi254