Ya Dunia Lyrics
- Genre:Afrobeats
- Year of Release:2020
This song is not currently available in your region.
Try the alternative versions below.
Alternative versions:
Lyrics
Hayeye!
Nimesota, sina wera, juzi nilikopa nilipe mama mboga
Hawajui, hawata amini, juu mi ni mwana mziki na mambo yangu iko fiti
Na huko instagramma, wanadhani nimeosa
Sababu waliona nikikula na Obama
Wengi ni mastar kwa vile wanavyo vaa
Lakini utashangaa, vile wanavyokaa
Wengi hujifanya mambo yao yako sawa
Lakini utashangaa, ni mengi haya ya dunia
Hayeye!
Chakula githeri chemsha na avocado
Na nina deni ya soo mbili ya mama Wambo,
Sasa nasaka fare anagalau nifike show.
Lakini jana si nilikua kwa TV, na juzi pia nilikua kwa gazeti,
Mambo yangu yanafaa kua fiti
Huko instagramma, wanadhani niko poa
Sababu waliona, ile poster ya Koroga
Wengi ni mastar kwa vile wanavyo vaa
Lakini utashangaa, vile wanavyokaa
Wengi hujifanya mambo yao yako sawa
Lakini utashangaa, ni mengi haya ya dunia
Sio yote yang’aayo ni dhahabu,
Watu huficha masaibu kwa tabasamu
Basi sote tuwe wakarimu
Sababu yote yang’aayo si dhahabu
Wengi ni mastar kwa vile wanavyo vaa
Lakini utashangaa, vile wanavyokaa
Wengi hujifanya mambo yao yako sawa
Lakini utashangaa, ni mengi haya ya dunia
--- www.LRCgenerator.com ---