Pokea Sifa Lyrics
- Genre:Gospel
- Year of Release:2018
Lyrics
Pokea Sifa - Jimmy Gait
...
na na na jimmy gait is big to make it
pokes sifa aah pokea sifa aah pokea sifa aah pokea sifa
and chapati madodo ,ugali na mboga tulikula pamoja ,pamojaa
madri adi ojo saa zingine rooti eleven tulienda pamoja ,pamojaa
riforoji tulitembea sana ,ooh tukakosa kazi tukaenda jivanji ,ooh
tukaoma vako tuone kama mambo yataleta mpango tukituliza hapo
majirani twatembea nyumbani juu hatuna feralli ,ooh mama yooh ooh nikiangalia kwenye mimi nimetokezea Mungu kweli umenibarikia ,ooh ooh
everytime I thiink about you I just want to give you praise
everytime I think about you I just want to give you praise
pokea sifa aah pokea sifa aah pokea sifa aah pokea sifa aah pokea sifa ,pokea sifa aah ooh baba pokea sifa ooh ooh pokea sifa eeh eeh pokea sifa
uuu mimi nimetigua kwamba kwenye kumetoka ooh haitajalishi ooh kwenye kunaenda ooh ndo yajalisha so keep your focus ,your focus
ooh mama kula neno kama dawa pika maombi kama tizi utaona mkona wa bwana
milango atafungua zingine atafunga aah usikufe moyo no no no aah
ukiona umefika mwisho Mungu anaanzia don't you give up no no
who has the better time your better day is ahead of you
utaendesha range rover pia utaishi runda just believe it just believe it(just believe it)
ooh nikiangalia kwenye mimi nimetokezea Mungu kweli umenibarikia ooh ooh
everytime I think about you I just want to give you praise
everytime I think about you (na think about you) I just want to give you praise
pokea sifa pokea pokea sifa pokea pokea sifa pokea pokea sifa uuu pokea pokea sifa ooh pokea pokea sifa uuu pokea sifa uuu pokea sifa eeh pokea ooh pokea pokea