- Genre:Afrobeats
- Year of Release:2014
Lyrics
Juu Yake - Tumaini Choir - Shangilieni
...
basi shiriki pamoja na sisi kuabudu, tunapo imba pamoja
hakikisha unapokea ile nguvu, roho mtakatifu huko mahali hapa, sema roho mtakatifu yuko mahali hapa( roho mtakatifu yuko mahali hapa)
wangapi wako tayari kumpokea roho mtakatifu.
(Natumaii )Natumai natumai(Natumai)
Natumai natumai kwake tu. ( we ni Mungu baba)
Natumai natumai ( Natumaini jina lako)
natumai natumai natumai kwake tuu
( juu yake ) Juu yake langu shaka,
Yesu namuwekea
Nami sitafedheka,
Nikimtegemea.
(Natumai) Natumai Natumai ( Natumain Jina lako)
Natumai kwake tu;( Wewe ni Mungu wangu)
Natumai natumai
Natumai kwake tu.
( Juu yako Yesu) Juu yake dhambi zangu;
Aniosha kwa damu;
Nionakane kwa Mungu
nisye na laumu.
(Naatumaii) natumai natumai,(Natumaini kwako Yesu)
Natumai kwake tu(Mimi natumai)
Natumai natumai ( Natumaii oooh! ooh!)
Natumai kwake tu
Juu yake yangu hofu;
kwake nimetulia;
sipotei kwa upofu
Njia aning'azi
(Natumai) Natumai natumai (natumai jina lako Yesu)
natumai kwake tu;(sitaogopa kitu chochote)
Natumai natumai
Natumai kwake tu.
Nijapo pita katika bonde la uvuli wa mauti, Yeye mungu yuko pamoja na mimi.
Nijapo pita kwenye garika , hakika maji hayata ni furikia kwa sababu jina lake liko pamoja mimi. Nijapo pita kwenye Tanuru ya moto sitateketea sababu Mungu yupo pamoja nami.Jina lake lipo kwa ajili yangu , Jina kuu, ameniinua kutoka chini hadi juu Kwa ajili ya jina lake, Yeye mwenyewe ainuliwe.
Juu yake, Moyo wangu;
Hali yangu na mali,
Mimi wake, yeye wangu(mimi wake , yeye wangu)
Twapasana kamili.
(Natumai) Natumai natumai,
Natumai kwake tu;
Natumai natumai
Natumai kwake tu
(Nijapo pita katika bonde la uvuli wa mauti gongo lake na fimbo yako vanifariji nami nitaka nyumbani mwako nilisifu jina nana nana
ooh ooh naa naa natumai natumaini damu yako Yesu natumaini jina lako siogopi majaribu natumaini.Nijapopita katika mateso na hatari mimi natumaiiiii naa naa naa natumai aaah katika shida majatibuni ooh natumai kwake tuu oooh Yesu. Ayubu alipita katika mateso watoto wake walikufa Ndugu zake walimkimbia wakamuacha lakini alikutumaini Mungu akashinda japo mali zake zilikwisha.