Injili Lyrics
- Genre:Gospel
- Year of Release:2017
Lyrics
Injili - Bro Dan Omondi
...
SOLO: Israeli….
ALL: Walikuwa wenye ujumbe ee….
SOLO: Hata hivyo,
ALL: Walikataa Injili ii... CHORUSx2
SOLO: Injili ikaenda
ALL: Kwa mataifa aa...
1.Asante Yesu...kwa kuja kwako oo...
Ulinipenda aa... ulinijali ii...
Ukaleta ujumbe, wa maneno matamu...
Ili viwete, watembee
Viziwi, wapate kusikiaa...
Nao vipofu, wapate kuona aa
Hata wafungwa, wawe huru uu...
CHORUSx2
2. Injili ni moto
Injili ni choma
Injili ni washa
Injili ni fire
Ikiwaka injili, wenye dhambi huokoka
Ikiwaka injili mapepo yatoroka
Ikiwaka injili, maadui hutishika
Ikiwaka injili, tunapona
Ikiwaka injili tunapata uzima
CHORUSx2
3.Injili niponye
Injili niguze
Injili nifariji
Injili niokoe
Injili niinue
Injili nibariki
nikomboe, nipate uzima aa...
CHORUSx2
4. Ndugu yangu nakuimiza aa..., Usichoke ee...
Kuenza injili ii..., Ya Bwana Yesu
Tueneze injili
Kwa pembe zotee... tuhuburi injili
Kwa watu wote
Kwani hilo ndilo jukumu
Tulilopewa
Wapende wasipende, injili litasimama
Wakatae wakubali injili, litahudumuu
Lakini vya dunia, ni mapito oo...
CHORUS×2