Mia Mia ft. Conrad Bubex Lyrics
- Genre:Pop
- Year of Release:2023
Lyrics
We ni wa pekee kwenye dunia
Uzuri ulionao umepita mataifa
We ni wa pekee kwenye dunia
Nguvu uliyonayo imepita mataifa
Wakiuliza kwani nani ndie nguzo ya mfalme
Ni mimi
Wakiuliza nani hapa mwenye nguvu zaidi ya wote
Eeh…yeah
Wakisema hutoweza fika mbele waambie
Ni mimi
Ni mimi
Ni mimi
Ni mimi
Niliumbwa mia, mia
Nachogusa mia, mia
Nazidisha mia, mia
Nitabaki mia, mia
Niliumbwa mia, mia
Nachogusa mia, mia
Nazidisha mia, mia
Nitabaki mia, mia
Ah… eh heh…
Bado unaweza
Unaweza hakika
Kuvuka miamba waliyoweka
Yeah…
Badi unaweza
Unaweza hakika
Kuvuka vikwazo
Mbele yako
Wakiuliza kwani nani ndie nguzo ya mfalme
Ni mimi
Wakiuliza nani hapa mwenye nguvu zaidi ya wote
Eeh…yeah
Wakisema hutoweza fika mbele waambie
Ni mimi
Ni mimi
Ni mimi
Ni mimi
Niliumbwa mia, mia
Nachogusa mia, mia
Nazidisha mia, mia
Nitabaki mia, mia
Niliumbwa mia, mia
Nachogusa mia, mia
Nazidisha mia, mia
Nitabaki mia, mia
Ah… eh heh…
Wasichojua ni kwamba kings never die
Nimepewa ujasiri uoga ndo haunifai
Nisipofikia malengo uhalisia utanidai
Jitihada, maana mafanikio sio suti na tie
Usione niko so low, am focusing of course, cause
We don't really know tomorrow God namweka close, cause
Been doing a lot of shit zizojaa mikosi,
Na-face down don't trust none na hutoni-force
Dreams to reality
I got too much ability
Hawatuonei huruma wanatuonea macho isn't it
I keep it one hundred from my head down to my toes
And am never gonna give up hata yanitoke machozi
Sala-dua zinafanya mi stress sina
Walotuzika hawakujua si mbegu tutaota tena
Nyota njema nikiamka asubuhi mapema
Mindset ziko set ka chaneli za antenna
Tena hatupendwi na wote
Wapo wanaotaka utoke kimaisha na wapo wanaotaka maisha yakutoke,
Uwezo tumepewa wote
Tupambane tuu sote
Kati ya pesa na tatizo nani ummaliza mwenzake
Niliumbwa mia, mia
Nachogusa mia, mia
Nazidisha mia, mia
Nitabaki mia, mia
Niliumbwa mia, mia
Nachogusa mia, mia
Nazidisha mia, mia
Nitabaki mia, mia
Ah… eh heh…
Mia, mia
Yeah…