Paradise (feat. H girl baby) Lyrics
- Genre:Bongo Flava
- Year of Release:2023
Lyrics
Paradise (feat. H girl baby) - Bless Tz
...
sisemi una mapenzi mengi..Ila me kwako sijiwezi tuu.,.. kikubwa kwamba ushanielewa aaah..
na ndo maana sitaki uende mbali utaniumiza tuu... kukupata ni ngekewaa aah/
hisia za moyo zimezama kwako tu... na mnataka ubaki na me ukiondoka nitakufa tu.,...
umeshaingiaa kwenye moyoo.. wengine wazushi tu.. Mimi kwako Sina Jambo najiona Niko paradise.......
Niko paradise...... ntakupenda milele
Niko paradise..... sitompenda mwingine
Niko paradise.... waache wapige kelee
niko paradise... sitoenda kwengine
Niko paradise...... ntakupenda milele
Niko paradise..... sitompenda mwingine
Niko paradise.... waache wapige kelee
Niko paradise.... mama mama maaah mama ma aaah aaah
ooooh hoooh mmmmmh mmmmmh yeeeeah.,
katika kitu sijawahi kujutia ni kukupata wewe .... wee mfalme me Mimi malkia , Nakupenda mwenyewe, naona umenifungulia njiaaa.....
maisha yangu ni wewe...na siku ukija nipoteaaa ..nitaumia nielewe.....
wee ndo my king taji ushavikwa.....
uwepo wako me ninafarijika aaah...
katika watu wanaoenjoy na mape...eh eh eeeh
naweza kusema me ni number moja
walah kukuacha siwe eh eh eeeh..
sijui umenipa Nini ama umeniroga...
umeniroga babaaa
umeniroga hiii hiiiiiii....
hisia za moyo zimezama kwako tu... na mnataka ubaki na me ukiondoka nitakufa tu.,...
umeshaingiaa kwenye moyoo.. wengine wazushi tu.. Mimi kwako Sina Jambo najiona Niko paraduuuh uuuh mmmmh
Niko paradise.....
Niko paradise...... ntakupenda milele
Niko paradise..... sitompenda mwingine
Niko paradise.... waache wapige kelee
niko paradise... sitoenda kwengine
Niko paradise...... ntakupenda milele
Niko paradise..... sitompenda mwingine
Niko paradise.... waache wapige kelee
Niko paradise.... mama mama maaah mama ma aaah aaah
wee ndo my king taji ushavikwa.....
uwepo wako me ninafarijika aaah...