NAENJOY (feat. Ben Cardo) Lyrics
- Genre:Gospel
- Year of Release:2023
Lyrics
NAENJOY (feat. Ben Cardo) - Andrew Mangula
...
instrument
Naenjoy, Naenjoy
kwakooh, kwako nipo salama ×2
Nyakati zote upo pamoja nami,
Hata shidani nakuona pendo lako halibadiriki Kwangu
iwegizaa! mbele sioni, Kwenye maradhi napona
Hakika wewe ni BWANA wangu
Wakati mwingine nimepewa na naufurahia
ayaya!
nafasi nyingine nimepewa na naifurahia ahee!
kanipa mamlaka yakukanyaga nge na nyoka nakwake Mimi Sina masahaka
(Naenjoy)
kanipa mamlaka yakukanyaga nge na nyoka nakwake Mimi Sina masahaka Naenjoy
ehh Naenjoy ehh
(chorus)
Naenjoy, Naenjoy
kwakooh, kwako nipo salama ×3
instrument
mahangaiko Yangu kutangatanga Kwangu kumbeeh
jicho lako lanitazama
ulemzigo Wangu ulokua mzito na kulemewa na nyingi changamoto ulinondolea na kusema mwanangu pumzika ahh ahhe
ukasema!
nilayangu ni laini
mzigo wangu nimwepesi
yabidi nikufuate wewe yabidi nikufuate
ukasemaah
nilayangu ni laini
mzigo wangu nimwepesi
yabidi nikufuate wewe yabidi nikufuate
umeondoa kichwani stress
ukanipa faith
ukaniweka fresh
ukaniweka niwe kinala natena niwe imala
uhuhuh ahh!
(chorus)
Naenjoy, Naenjoy
kwakooh, kwako nipo salama ×3
kilakitu me napata Mambo yangu yapo super super
instrument