Tumaini la Wazazi Lyrics
- Genre:Gospel
- Year of Release:2023
Lyrics
Tumaini la Wazazi - Robert Thadeo
...
Tumaini la Wazazi liko wapi
Tumaini la Wazazi liko wapi
Yanaumiza moyo
haya mambo
kama hujayafikiria
yanachosha sana haya mambo
huwezi hata kuyavumilia
unamtengeneza mwanao
ili aje kukusaidia
kwa maisha yako yajayo
wengine wanamchezea
Yanaumiza moyo
haya mambo
kama hujayafikiria
yanachosha sana haya mambo
huwezi hata kuyavumilia
unamtengeneza mwanao
ili aje kukusaidia
kwa maisha yako yajayo
wengine wanamchezea
Mwanangu nenda shule ukasome
ufaulu faida tuone
ya Mungu ni mengi pengine
ajira utapata tupone
mwanangu nenda shule ukasome
ufaulu faida tuone
ya Mungu ni mengi pengine
ajira utapata tupone
Tumeuza mashamba
tukauza migomba
na yule mbuzi wa baba
naye tumemkumba
Tumeuza mashamba
tukauza migomba
na yule mbuzi wa baba
naye tumemkumba
Tumaini la wazazi liko wapi
Tumaini la wazazi liko wapi
Tumaini la Wazazi liko wapi
Tumaini la Wazazi liko wapi
Tumaini la Wazazi liko wapi
Tumaini la Wazazi liko wapi
Wakifika shule wanajisahau
kwamba baba na mama wanataabu
wanaanza starehe wanasahau
wanasahau
Wakifika shule wanajisahau
kwamba baba na mama wanataabu
wanaanza starehe wanasahau
wanasahau
Katika masomo ndugu zangu
shetani anapakazia macho
maana hata wana wa Mungu
wakifikako wanafumbwa macho
Katika masomo ndugu zangu
shetani anapakazia macho
maana hata Wana wa Mungu
wakifikako wanafumbwa macho
Wanajiunga makundi ya hasara
wanasahau kwao kuna njaa
wengine kwa kukosa busara
ni wanafunzi wanawapa mimba
haijatosha kunawashirikina
wanasubili siku za pepa
mtoto aliyekuwa ni nyota
haoni tena moja mbili wala a
Tumaini la wazazi liko wapi
Tumaini la wazazi liko wapi
Tumaini la Wazazi liko wapi
Tumaini la Wazazi liko wapi
Tumaini la Wazazi liko wapi
Tumaini la Wazazi liko wapi
Mshike sana elimu usimwache aende zake
Maana yeye huyo ndiye uzima wako
Mtoto mwenye hekima hutunza wazazi wake
bali mwana mjinga huwa mzigo kwao
Mshike sana elimu usimwache aende zake
Maana yeye huyo ndiye uzima wako
Mtoto mwenye hekima hutunza wazazi wake
bali mwana mjinga huwa mzigo kwao
Mshike sana elimu usimwache aende zake
Maana yeye huyo ndiye uzima wako
Mtoto mwenye hekima hutunza wazazi wake
bali mwana mjinga huwa mzigo kwao