MANDONGA Lyrics
- Genre:Hip Hop & Rap
- Year of Release:2023
Lyrics
Niko juu ya Biz
Kamsomali kule Eastleigh
Blood Sweat Tears, boss, na misilii
Hata Miss haaniachiliii
Juu napiga weka hadi anasema Pliz boss I gat 2 pee
Kisha na wikaa UGH kama Masta P
Hio ndio siri ya kuiishi happily
Weh uko heppi kama hippi
Kwa club yes, Absolutely
Na hio vodka imefanya umefuliza uka chokorwa
Pochi POOF umeporwa
Ndio huyo wewe kwa madhee eti nimerogwa
Unafaa Kibarree ya TB Joshua
Pengine hizo Shetani zitakutoka
INJINIA kwa mic check na nimeondoka
MANDONGA
Niko na keys to the city
Mazee huskii naitwa Wakili
Cheza nami si shikiki
Mi na ma chiz tumewasili
Tuchape bizz sifilisiki
Ingiza ma cheese ndo Riziki
Ona mageez kujiamini
Kutatiz serikali kula mandiz ina madini
Usijibiz ukiwa na mimi
Mandonga deez nuts kelele
Lakini pigwa plow na mgenge
Naleta chira kwa wasenge
Napea mimba kwa wangede
Naelea kaa upele
Hutawai kuwa ready
Hutawai kuwa steady
Niogope kama Freddy
Juu nakam hiyo Friday
Ntakuhuslte kama pedi
Hutajigamba on my payday
Niko na keys to the city
Cheza na mi sishikiki
Mi na ma chiz tumewasili
Heavyweight kwa streets Mandonga
The beats! Bado shit nita bonga
Punchlines deadly soaked in the illness
Breeathe, daktari na stethoscope
Dope money na power nina both
If lyrics make sense! Mbona Uko broke
Your chic, Saxophone for deez nuts
Tarumbeta straw na flute hahaha
Clifford Ombeta I draw and shoot
Across the bar bila was was
Dirty money ME siko wash wash
Ambia DJs ME Babu Owino
Yooooh my record better spin off
If not nakung'oa hadi jino
I'm a dick head nickname kiino
The one, tripple O G niite Kilo
Chairman, Barzenga Mzito