Sina Pesa Lyrics
- Genre:Soul
- Year of Release:2022
Lyrics
Sina Pesa - Kaka B
...
kama ningekwa na pesa na pesa
Ningechanganya watoto kaka ningetesa
shida niko nayo sina pesa kuwapendezaa, aaah me sina pesa
kama ningekwa na pesa na pesa
Ningechanganya watoto kaka ningetesa
shida niko nayo sina pesa kuwapendezaa, aaah me sina pesa
Mapenzi bila hela skwizi hakunanga nanii
we jitupe ndani ya moto kisa mtoto ndo utatii
UNaponifunga ndani ya pochi we mammy
na kunipa raah mpka tendo unaniita daddy yeaah
Mapenzi bamba tunaliwa kama bandooo.
Na hicho kichwa chako eti unapendwa keti kandoo staki kutumiwa kadi ya haruusi staki mchangooo,
na baada ya siku mbili unanzalia ndoa chambo
Bora nisake hela hela ndo mapenzi we fatana na mapenzi mwishoni penzi ni ushenzi
Sipingi ndoa wala siweki ndoa doa Lakini mbona naweka mwenzangu pesa anatoaa?
Hakuna soni watoto wanaliwa na babuu na ukiuliza mbona wanasema tabu ndo sababu hayaaa,
pokeeni mikwaju yenu ya adhabu kama hivo ndo mnataka, mwenzenu siwapi tabuuu
kama ningekwa na pesa na pesa
Ningechanganya watoto kaka ningetesa
shida niko nayo sina pesa kuwapendezaa, aaah me sina pesa
kama ningekwa na pesa na pesa
Ningechanganya watoto kaka ningetesa
shida niko nayo sina pesa kuwapendezaa, aaah
Sipendi mpaka npate pesa za kupenda
ndo mana napiga mishe npate pesa za kupendaaa
Staki dhubutu sina pesa atanitenda mashabiki watanicheka sasa wapi nitakwenda, So nkipandwa na hisia, nakula na macho,nameza mpka na bia, bora kwake niwe machoo
Napanga vitu havipangiki mpka bado najua siwezi mudu zile deti kila satoo
Nambie ni vipi bila pesa niko mjini naona kama me ntarudi kijijini mambo vipi
Nataka sana kutulia na huyu binti shida siku alipofika alinipa bei kwa cv
Na hizo presha kaka bizze mimi sinaa
Staki kabisa stori za kinya na tina
Ruhusa nipendwe siku nikipata bima kwa sasa niache nipewe kidogo kwa mama pimaaa
kama ningekwa na pesa na pesa
Ningechanganya watoto kaka ningetesa
shida niko nayo sina pesa kuwapendezaa, aaah me sina pesa
kama ningekwa na pesa na pesa
Ningechanganya watoto kaka ningetesa
shida niko nayo sina pesa kuwapendezaa, aaah sina pesa
Sina pesa, na sina presha
Sina pesa, kaka bizze sina presha