Karibu Dar Lyrics
- Genre:Bongo Flava
- Year of Release:2022
Lyrics
Karibu Dar - Ibra Chanzo
...
mbeya city one timeeee
Gachi B
Karibu !!! Karibu daaa!!×2
aaa! hiyo eee! Karibu sana japo sio lazima huku watu wengi sana ila ukiona kunashida we sogea kupambambana ila usikopeshe kaa unadanga
Tena ukifika mbezi we nipigie simu ni weeleze wanangu maana wanangu ni ndimu wanaweza pora gari ? kisha mpaka simu usiulize kwa nini mimi mwenye mbona ndimu
Ukiona maghorofa usishangae acha pupaa utapigwa kibao kiuno fally ipupa kama fegi ukija huku epuka ukiendekeza simu baadae utakula unga
Tena unapo kuja ulise kizembe na maharage usije kizembe waage watu wotee !!!
Chorus
Karibuu !! karibuu daar!! ×4
Young lunyaa
ooh! my ee!
ye!!
Karibu sana kwenye jiji la wajanja vijana huku wanashindia mirungi na maganjaa usikae kwa kutulia kaa ! kijanja walinzi ndio wanalinda na virungu wezi wanakabia mapanga!!
Mimi nipo daar kabla hata sijatoka naijua vizuri toka enzi hizo star Khadija kopaa dar hakuna kitu huwezi kopa haukopeshi pesa tu huku hata mapenzi utakopa
Hapa kuna watoto IFM wapangawishwi na Fem usishoboke na kwanza shobo hawataki saaa!! jifanye chizi madem na pesa zako za chumvi nisikufiche zitaliwa kiroho Safi..
Zingatia sehemu inaitwa Ubungo hapo mwana kuwa makini usiombwe ukapigwa hata kikumbo hapa wanakuibia hata kifungo usipo kuwa makini bei ya nyama watakuuzia hata utumboo........
Karibu daar!!
Karibu!!! karibu daar !! ×3