Loading...

Download
  • Genre:Afrobeat
  • Year of Release:2022

Lyrics

Hisani Yangu - Sabah Salum

...

Hisani yangu imenipoza mie

Imenifanya nidharauliwe

Kwa kuwa hali yangu ya mwenzangu miee

Ohhhhhh


Sina wema katika hii dunia

Kila balaa limeniangukia

Leo hii sina raha sitaki kuyasikia mimi


Kwa ukweli yanauma yanatia na uchungu

see lyrics >>

Listen to Sabah Salum Hisani Yangu MP3 song. Hisani Yangu song from album Hisani Yangu is released in 2022. The duration of song is 00:06:27. The song is sung by Sabah Salum.

Related Tags: Hisani Yangu, Hisani Yangu song, Hisani Yangu MP3 song, Hisani Yangu MP3, download Hisani Yangu song, Hisani Yangu song, Hisani Yangu Hisani Yangu song, Hisani Yangu song by Sabah Salum, Hisani Yangu song download, download Hisani Yangu MP3 song

Comments (24)

0/500

    Top Comments (1)

    Zanzibar Taarab

    Hisani yangu imenipoza mie Imenifanya nidharauliwe Kwa kuwa hali yangu ya mwenzangu miee Ohhhhhh Sina wema katika hii dunia Kila balaa limeniangukia Leo hii sina raha sitaki kuyasikia mimi Kwa ukweli yanauma yanatia na uchungu Kunichoma yanachoma ndani kwenye moyo wangu Sitaki kujikera nimechoka namaudhi nafsi yangu Kila kukicha balaa linazushwa kwangu mie Lawama ninatupiwa mbayambaya mitaani Ubaya ninaotiwa kwa watu sina thamani mimi Hisani nilofanya wachainigeukie Utu hauna maana niliofanya mie Nimedharauliwa sana mbele ya kitu mjue mimi Kama nilawama na nialaumie na litakalo kuwa lolote naliwe Binadamu hana wema ata vipi afanyiwe Ooooohhhhhh Nilivyosalitiwa katika mapenzi yangu Nia kumbe ilikuwa kuvunjwa life yangu Vyovyote itavyokuwa watakumbuka fadhila zangu mimi Ila kulirudisha penzi ni ngumu wala sitaki Nishauma siwezi bora na iwe khalasii Mimi na yeye mapenzi nasema na yawe basi mimi Asofadhila ni ngumu kufadhilika kwa jema Kaona kipya kijemi kanisalita bayana Kama kaona kapata basi amepatikana yeye Mimi kwa upande wangu sijifananishi nae Hata iwe roho yangu siko sawasawa nae Na mudu maisha yangu yanifae baadae mimi Kama nikupata basi naapate Iwe ivyoivyo juu asishuke Siwezi kuiziba ridhiki yake oohhhoo Kuepuka matatizo shari naepuka nayo Kwani toka zama izo sina jema mimi kwao ohho Kwa kuwa sina uwezo ule watakao wao tungeumbwa sote sawa tusingeheshimiana Weee binadamuuuuu Ndio maana tumeumbwa watu hatujafanana Bora nibaki nadhiki kuliko maudhi bhana Inaumaa yanachomaa yanauma yanachoma Yanachomaa yanauma yanachoma>

    Tanzania

    New Comments24

    172629615

    Zenith bank and Ecobank account needed for loading Dm ....if you have Palmpay Moniepoint account also needed for instant loading please not that the moniepoint account must have a POS/terminal attached to the accounts....! Zenith bank and Ecobank account needed for loading Dm ....if you have Palmpay Moniepoint account also needed for instant loading please not that the moniepoint account must have a POS/terminal attached to the accounts....! .... WhatsApp me if you have it........ +2348065662001 .... WhatsApp me if you have it........ +2348065662001

    Nigeria

    CHUMMY CAPPUCCINO

    Hy mambo yapo

    Tanzania

    CHUMMY CAPPUCCINO

    Iiila huuu Wimbo alijua kuimba

    Tanzania

    aisha msazi

    congratulations mama

    Tanzania

    saumuvzk21

    mwimbo mzuli san

    Tanzania

    HADIYE BAKARI

    kweli yako mama sabaha[0x1f625]

    Kenya

    KwekaJoyce

    Pambe hatarnacheka kama sitaki taratiibuu❤️

    Tanzania

    Fatuma Rashidig10vf

    @Zanzibar Taarab:

    weeh daaah jmn mama sabah

    Zanzibar Taarab:

    Hisani yangu imenipoza mie Imenifanya nidharauliwe Kwa kuwa hali yangu ya mwenzangu miee Ohhhhhh Sina wema katika hii dunia Kila balaa limeniangukia Leo hii sina raha sitaki kuyasikia mimi Kwa ukweli yanauma yanatia na uchungu Kunichoma yanachoma ndani kwenye moyo wangu Sitaki kujikera nimechoka namaudhi nafsi yangu Kila kukicha balaa linazushwa kwangu mie Lawama ninatupiwa mbayambaya mitaani Ubaya ninaotiwa kwa watu sina thamani mimi Hisani nilofanya wachainigeukie Utu hauna maana niliofanya mie Nimedharauliwa sana mbele ya kitu mjue mimi Kama nilawama na nialaumie na litakalo kuwa lolote naliwe Binadamu hana wema ata vipi afanyiwe Ooooohhhhhh Nilivyosalitiwa katika mapenzi yangu Nia kumbe ilikuwa kuvunjwa life yangu Vyovyote itavyokuwa watakumbuka fadhila zangu mimi Ila kulirudisha penzi ni ngumu wala sitaki Nishauma siwezi bora na iwe khalasii Mimi na yeye mapenzi nasema na yawe basi mimi Asofadhila ni ngumu kufadhilika kwa jema Kaona kipya kijemi kanisalita bayana Kama kaona kapata basi amepatikana yeye Mimi kwa upande wangu sijifananishi nae Hata iwe roho yangu siko sawasawa nae Na mudu maisha yangu yanifae baadae mimi Kama nikupata basi naapate Iwe ivyoivyo juu asishuke Siwezi kuiziba ridhiki yake oohhhoo Kuepuka matatizo shari naepuka nayo Kwani toka zama izo sina jema mimi kwao ohho Kwa kuwa sina uwezo ule watakao wao tungeumbwa sote sawa tusingeheshimiana Weee binadamuuuuu Ndio maana tumeumbwa watu hatujafanana Bora nibaki nadhiki kuliko maudhi bhana Inaumaa yanachomaa yanauma yanachoma Yanachomaa yanauma yanachoma

    Tanzania

    hadija0ptnf

    Zanzibar Taarab:

    Hisani yangu imenipoza mie Imenifanya nidharauliwe Kwa kuwa hali yangu ya mwenzangu miee Ohhhhhh Sina wema katika hii dunia Kila balaa limeniangukia Leo hii sina raha sitaki kuyasikia mimi Kwa ukweli yanauma yanatia na uchungu Kunichoma yanachoma ndani kwenye moyo wangu Sitaki kujikera nimechoka namaudhi nafsi yangu Kila kukicha balaa linazushwa kwangu mie Lawama ninatupiwa mbayambaya mitaani Ubaya ninaotiwa kwa watu sina thamani mimi Hisani nilofanya wachainigeukie Utu hauna maana niliofanya mie Nimedharauliwa sana mbele ya kitu mjue mimi Kama nilawama na nialaumie na litakalo kuwa lolote naliwe Binadamu hana wema ata vipi afanyiwe Ooooohhhhhh Nilivyosalitiwa katika mapenzi yangu Nia kumbe ilikuwa kuvunjwa life yangu Vyovyote itavyokuwa watakumbuka fadhila zangu mimi Ila kulirudisha penzi ni ngumu wala sitaki Nishauma siwezi bora na iwe khalasii Mimi na yeye mapenzi nasema na yawe basi mimi Asofadhila ni ngumu kufadhilika kwa jema Kaona kipya kijemi kanisalita bayana Kama kaona kapata basi amepatikana yeye Mimi kwa upande wangu sijifananishi nae Hata iwe roho yangu siko sawasawa nae Na mudu maisha yangu yanifae baadae mimi Kama nikupata basi naapate Iwe ivyoivyo juu asishuke Siwezi kuiziba ridhiki yake oohhhoo Kuepuka matatizo shari naepuka nayo Kwani toka zama izo sina jema mimi kwao ohho Kwa kuwa sina uwezo ule watakao wao tungeumbwa sote sawa tusingeheshimiana Weee binadamuuuuu Ndio maana tumeumbwa watu hatujafanana Bora nibaki nadhiki kuliko maudhi bhana Inaumaa yanachomaa yanauma yanachoma Yanachomaa yanauma yanachoma

    Tanzania

    Grace David3t9qj

    @mamt8vr4:

    umeona eeee pambee sanaa me mwenyew ssina taarabu lakin hii ❤️

    mamt8vr4:

    sijawahi kuweka taarabu kwenye sim yangu na wala sinaga habali na taarabu ila kwa hii kwangu bonge la wimbo [0x1f618][0x1f618][0x1f618]

    Tanzania

    Ilhamismai

    Pambe

    Tanzania

    719450979

    yani sina neno fanya kama unaona mama angu wakati nacheza nakuimba jomon penda sana ww

    Tanzania

    +

        -   or   -

        -   or   -

        NG +234

            Please Select A Playlist

            Add New Playlist

            Share on

            Embed: Love & Light EP

            Custom Size :

            • Default
            • Desktop(300*600)
            • Mobile(300*250)

            Type :

            • HTML/HTML5 (WordPress Supported)
            Get Boomplay Premium
            for
            Payment Method
            Pay With
              Review and pay
              Order Date
              Payment Method
              Due Today
              Flutterwave
                Subscription Successful

                Congratulations! You have successfully activated Boomplay 1 Month Premium.

                Now you have access to all the features of Boomplay App.
                Payment Failed

                Please check your balance and then try again.

                You'll lose your subscription if we don't have a working payment method for your account, so please check your payment details.
                Need help? Contact Boomplay Subscription Support.
                Payment Processing...
                10 s

                Payment is being processed by . Please wait while the order is being comfirmed.

                Payment Processing
                Your order is processing, and it may take up to a few days for the service provider to handle your payment. Please kindly stay tuned and check your order status in ‘User Center’.
                About Order Status