Kitambo Lyrics
- Genre:Afrobeats
- Year of Release:2018
Lyrics
Kitambo - Timmy
...
intro...
Ati Hakuenda campo
But kila weekendi utampata hapo (kila wikendi)
(hook)
Nilikuwa nashinda kwa streets (si kitambo)
Sina hata kitu ya kueat (si kitambo)
Nilikuwa nadandia ma3 (si kitambo)
Keja single tunashare watu 3 (si kitambo)
Oooooooooooo
Mwaka uno si kitambo
Ooooooooooo (ni kasabuni)
Nasai si kitambo (Musyoka)
Leo tunafanya mambo
Ooooooooooo
Verse 1
Hey ninaraise bar, hata wawezi lewa
Ni December mpaka Jan, Mi ndo naongelewa
Ni Kampala mpaka Dar, Mi ndo naongojewa
Si Jah Jah alishasema, Omba na utapewa (eh)
Wafuasi wananifollow me (eh)
Piga picha post tu tag on me (eh)
Pewa maji alafu bill on me
Tuna makingi ma money moves, Cardi B! (eh!)
Hawakujua nitakuwa mtu badu!
Hawakujua nitapendwa na ma girlu!
Hawakujua nitakill bila gun!
Kumbe kuna ingine hapa chini ya mbavu!
(insert hook)
Verse 2
Garbage ilikuwa ndo job niliduu (ndio job nilidu!)
Sina hata fare natembea kwa miguu (natembea kwa miguu!)
Nilifanya job kwa stage ya matatuu
Nikipanda stage ma wathii waniboo
Juu garbage hiyo job nilikuwa ninaduu (eh! eh! Ah! Ah!)
Kumbe wakihate manze joh napenetrate
Jah Jah ananiwatch man nika ako kwa gate
Mi nakuanga sure buda sikuwangi kwa bet
Cheki kashanipea na hata hatuja date
(insert hook)
Verse 3
Nyasaye Ogwetha (x 3)
Nyasaye ema Gwetha
Nyasaye Ogwetha (x 3)
Nyasaye ema Gwetha
Vitu sasa ni better
Success ni dem na date A
Juu mimi ni go getter
Ai time mbaya check later
(insert hook)
Mhhhh Aha!
Ati Hakuenda campo
But kila weekendi utampata hapo
Haha Aha!
They know
Kasabuni to the world