Harmonize: Hakuna press conference, listening party wala media tour
Msanii wa muziki Tanzania, Harmonize amesema kutofanya promotion yoyote ya albamu yake mpya anayotarajia kuiachia Ijumaa ya Oktoba 28, 2022.
Harmonize amebainisha hayo kupitia insta story yake ambapo amesema ameshafanya kila kitu studio hivyo anataka mashabiki wasikilize muziki mzuri aliouandaa na kuongeza kuwa ikiwezekana ataishare mara moja tu kwenye platform zake.
Amesema hapatakuwa na press conference, listening party, media tour na vinginevyo.
Nini mtazamo wako kwa uamuzi huu wa Harmonize?
#Trending #Harmonize #Music
Comments (7)
New Comments(7)
ZER0uicsb
Boaz Wallace
Daaa umeongea boe kabsa yan
Semaaa konde anatumiaa sanaa upepo wa wcb
Yusla Elias
kujiamini ni vizuri[0x1f627]
BerryNipeys
Beautiful
Mjuba 99
Jeshiiiii
Tico de genius hcjs3
Semaaa konde anatumiaa sanaa upepo wa wcb
Peter Paul Tz5djih
anajiamini sana, Lakini isipofanya vizuri nafikiri atajilaumu
nice