Zuchu kuachuana na Burna Boy Tuzo za MTV EMA 2022
Msanii mahiri wa kike kutoka lebo ya muziki ya WCB, Zuchu ametajwa kuwania tuzo za Kimataifa za MTV EMA kwa mwaka huu katika kipengele cha Msanii Bora wa Afrika.
Kwenye kipengele hicho, Zuchu ndiye msanii pekee kutoka ukanda wa Afrika Mashariki kutajwa kuwania tuzo hizo, akichuana na wasanii wengine akiwemo Burna Boy (Nigeria), Tems (Nigeria), Ayra Starr (Nigeria), BlackSherif (Ghana) na Musa Keys (South Africa).
Tuzo za MTV EMA zinatarajiwa kufanyika Duesseldorf nchini Ujerumani Novemba 13, 2022.
#Trending #Zuchu #MTVEMA
Comments (17)
New Comments(17)
#Shador boy#Love
Jeff theojg4qe
zuch l love zuch
Mildred Wwkesa
zuchu❣️❣️
"><
Nice
Loveness Godlove
zuchu
pop samg422s
zuchu[0x1f618][0x1f618][0x1f618][0x1f618]
Pancho Valentino
Zuchu take it you deserve amazing girl artist
Christina Kyaruzi
[0x1f636][0x1f636][0x1f636]
Faiz Mudyawgz
burna boy
pharesxh9f9
zuchu
Shangazi jikaze mama unaweza...